Psalms 94:1-2

Mungu Mlipiza Kisasi Kwa Ajili Ya Wenye Haki


1 aEe Bwana, ulipizaye kisasi,
Ee Mungu ulipizaye kisasi, uangaze sasa.

2 bEe Mhukumu wa dunia, inuka,
uwalipize wenye kiburi kama wanavyostahili.
Copyright information for SwhKC